Showing posts with label HABARI. Show all posts
Showing posts with label HABARI. Show all posts
Thursday, 9 April 2015
On 21:30 by Unknown in HABARI No comments

Jaji
mmoja na wakili ni miongoni mwa watu waliouawa baada ya mshukiwa mmoja
kuwafyatulia risasi ndani ya mahakama moja mjini Milan nchini Italia.
Maafisa
wa idara ya mahakama wanasema kuwa mshukiwa aliyefyatua risasi ni mtu
mmoja aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kutangazwa kufilisika.

Mshukiwa huyo aliwapiga risasi
watu wawili ndani ya mahakama kabla ya kumshambulia jaji ambaye
angelisikiliza kesi yake ndani ya ofisi yake.
Mtu wa nne anaaminika kufariki kutokana na mshtuko wa moyo.

Mshukiwa huyo alikamatwa kaskazini mwa Milan akitoroka kwa pikipiki.
Haijulikani
jinsi mshukiwa huyo alivyoweza kuingia ndani ya mahakama hiyo huku
akiwa na bunduki, kwa kuwa wageni wote hupitia vifaa vya kuwakagua ikiwa
wana silaha.
On 21:27 by Unknown in HABARI No comments

Wakimbizi wa Palestina
Raia
wa Palestina wanasema kuwa wamekubali kushirikiana na serikali ya Syria
ili kujaribu kuwafurusha wapiganaji wa IS nje ya kambi moja ya
wakimbizi viungani mwa Damascus.
Tangazo hilo hilo lilifanywa na afisa mmoja wa serikali ya Palestina huko West Bank.
Wapiganaji
wa IS walitekeleza shambulizi katika kambi hiyo wiki iliopita na kuweza
kuiyumbisha kanbi hiyo licha ya pingamizi kutoka kwa jeshi la
Palestina.
Takriban wakimbizi elfu kumi na nane wanaishi katika kambi hiyo ambayo inakabiliwa upungufu mkubwa wa vitu muhimu.
On 21:19 by Unknown in HABARI No comments

Je unataka Kuwa Mrembo na Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips,
Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele, Kupunguza Unene na Kuondoa Tumbo? Basi African Beauty Products Wanakuletea Hii:
![]() |
Kabla ya Kutumia Dawa na Baada ya Kutumia Dawa zetu |
1.Kuongeza Hips Makalio na Mapaja 100,000/
2.Kunenepesha Miguu iwe chupa ya Bia 70,000/
3.Kuwa Mnene Mwili Mzima 80,000/
4.Kupunguza Tumbo na Nyama Uzembe 80,000/
5.Kupunguza ama Kuongeza Maziwa 60,000/
6.Kuwa Mweupe na Soft Mwili Mzima 100,000/
7.Kuondoa Chunusi na Madoa 60,000/
8.Kuondoa Michirizi na Mabaka 70,000/
9.Kupunguza Unene Mwili Mzima 80,000/
10.Kuongeza urefu na unene wa Uume 90,000/
Bidhaa Zetu ni Uhakika Matokeo Ndani ya Week Moja..
Tuwasiliane kwa Simu Namba:
0756697906 ,0716805391 au 0783300397
Kwa watu wa Dar es Salaam Utaletewa Popote Ulipo ..Kwa Watu wa Mikoani tunatuma kwa Basi
2.Kunenepesha Miguu iwe chupa ya Bia 70,000/
3.Kuwa Mnene Mwili Mzima 80,000/
4.Kupunguza Tumbo na Nyama Uzembe 80,000/
5.Kupunguza ama Kuongeza Maziwa 60,000/
6.Kuwa Mweupe na Soft Mwili Mzima 100,000/
7.Kuondoa Chunusi na Madoa 60,000/
8.Kuondoa Michirizi na Mabaka 70,000/
9.Kupunguza Unene Mwili Mzima 80,000/
10.Kuongeza urefu na unene wa Uume 90,000/
Bidhaa Zetu ni Uhakika Matokeo Ndani ya Week Moja..
Tuwasiliane kwa Simu Namba:
0756697906 ,0716805391 au 0783300397
Kwa watu wa Dar es Salaam Utaletewa Popote Ulipo ..Kwa Watu wa Mikoani tunatuma kwa Basi
Monday, 6 April 2015
On 05:26 by Unknown in HABARI No comments


Lori la
Mizigo lenye namba za usajili T 255 CRN na lililokuwa na Tela lenye
namba za usajili T 478 BCG likiwa limefunga njia baada ya kufeli breki
lilipo kuwa kwenye njia kubwa katika eneo la Mbezi Mwisho, Jijini Dar es
salaam. Kwa mujibu wa Dereva wa Lori hilo aliejitambulisha kwa jina
moja la Bw. Sendegwa, alisema kuwa alianza safari yake ya kutoka Mkoani
Singida akiwa vizuri kabisa na alipofika maendeo ya Kibamba alihisi gari
yake kupoteza upepo lakini kwa wakati huo alikuwa
kwenye mwendo mdogo tayari na alianza kujarubu kutafuta namna ya
kusimama lakini hakufanikiwa, na alipofika maeneo ya Mbezi aliona sehemu
ya kuchepuka ambayo aliona ni salama kwa upande wake na ndipo alipoamua
hivyo na huko alikutana na Gari dogo aina ya Toyota Prado lenye namba
za usajili T 902 DCS ambapo alilipiga pasi ubavuni na kwenda kukita
kwenye baraza la moja ya nyumba zilizokuwepo kwenye eneo hilo.
Hakuna aliejeruhiwa wala kupoteza maisha kwenye ajali hiyo.

Lori hilo linavyoonekana baada ya kufeli breki na kuja kusimama hapo.

Muonekano wa Prado hiyo baada ya kupigwa pasi na Lori hilo.

Dereva wa Prado hiyo (jina kapuni) akijadiliana jambo na utingo wa Lori hilo.

Mashuhuda wakiangalia namna Prado hiyo ilivyopigwa pasi.

Neno la Leo lililoandikwa kwenye Lori hilo.

Mashuhuda wakihadithiana namna mambo yalivyokuwa.

Hapa ndipo Lori hilo lilipogota.

On 05:23 by Unknown in HABARI No comments

Matukio
ya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi, vikongwe na watu wa makundi
mengine ya kijamii nchini, yametajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na
hofu na kutojiamini kwa baadhi ya watu, hivyo kujikuta wakitumia nguvu
za ziada kutaka kufanikisha mambo yao, badala ya kumtegemea Mungu.
Hayo
yamebainishwa kwenye Ibada ya Sikukuu ya Pasaka katika Kanisa la
Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front na Mkuu
wa kanisa hilo, Askofu Dk Alex Malasusa.
Alisema
hofu na kukosa uhakika ni chanzo kikubwa cha dhambi jambo ambalo
linawafanya watu kuingia katika matendo ya ushirikina na mauaji ya
binadamu wenzao.
“Watu
wengi wamekuwa wakishiriki ushirikina na si kwamba wanapenda
ushirikina, hawapendi, lakini wamejawa na hofu na hawana uhakika na ndio
chanzo cha dhambi. Kumekuwapo na matukio mengi ya ushirikina ambayo si
kawaida kwa binadamu aliyeumbwa na akili akayatenda."
Malasusa aliongeza: “Haijalishi
umesoma kiasi gani, leo hii imethibitika wasomi wengi wameingia kwenye
ushirikina, haijalishi una hali gani ya kiuchumi, wafanyabiashara wengi
wamejiingiza kwenye ushirikina, haijalishi unapenda ibada kiasi gani,
imethibitika tunaoingia na kutoka ibadani bado tunashiriki ushirikina.
“Ndio
maana tunasikia matendo ya kusikitisha ya binadamu kwenda kuua binadamu
wenzao kama albino, vikongwe kutokana na kujawa na hofu, eti wanaamini
kwa kuua albino watapata fedha au mafanikio kwenye uchaguzi, huo ni uovu
na akili za kishetani. Yesu aliyefufuka ndio atakayekupa mafanikio.”
On 05:20 by Unknown in HABARI No comments

Askofu
wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alihubiri akiwa
katika kiti cha magurudumu na kusema hawezi kuwatupa Mbunge wa Monduli
(CCM), Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kwa
kuwa ni marafiki zake wa siku nyingi.
Pia
askofu huyo, amewataka waumini wote wa kanisa hilo kufika katika Kituo
Kikuu cha Polisi, Alhamisi ijayo siku ambayo atakwenda kukamilisha
mahojiano dhidi ya tuhuma za kumtukana Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar
es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo.
Akihubiri
mamia ya waumini waliofika kanisani hapo kwa ajili ya ibada ya Pasaka
jana, Gwajima alisema kumekuwa na uvumi kwamba kuhojiwa kwake na polisi
kulitokana na kuwakaribisha wanasiasa hao kanisani kwake kwa nyakati
tofauti na kuzungumza na waumini wake.
Alisema
alifahamiana na Lowassa tangu mwaka 1996 wakati huo mbunge huyo akiwa
Waziri wa Ardhi na tangu kipindi hicho amekuwa mtu wake wa karibu.
Alisema
alifahamiana na Dk Slaa tangu mwaka 1994 kabla hajagombea nafasi ya
urais kupitia Chadema na kwamba tangu wakati huo amekuwa rafiki wa
familia.
“Hawawezi
kunichagulia marafiki, hawa ni watu wangu wa karibu hata kabla hawajawa
na ndoto za kugombea urais, nitaendelea kuwa nao karibu,” alisema.
Asimulia mahojiano
Akizungumzia
mahojiano yake na polisi, Gwajima aliwaeleza waumini wake kwamba mambo
mengi aliyohojiwa hayakuhusiana na suala la kumkashifu Kardinali Pengo.
“Polisi
walinihoji mambo mengi binafsi yanayonihusu mimi na hayakuhusiana
kabisa na Pengo, maswali ya Pengo yalikuwa machache sana,” alisema.
Hata
hivyo, Gwajima alisema hana ugomvi na polisi wala Serikali kwa kuwa
amekuwa akitoa ushirikiano kwa vyombo hivyo. Akitoa mfano, alisema
Februari mwaka huu alipeleka barua polisi kueleza anataka kudhamini
kampeni kwa ajili ya kupinga mauaji ya albino kwa kushirikiana na jeshi
hilo.
“Niliwaeleza
kwamba tungezunguka na polisi mikoa yote Tanzania na wamenijibu kwamba
nipeleke ratiba ya shughuli hiyo ili tuanze,” alisema.
Alisema pia alidhamini mafunzo ya ulinzi shirikishi kwa vijana 400 kwa kushirikiana na polisi... “Shughuli
hizi zinaonyesha kwamba sina ugomvi na polisi, bali nimekuwa rafiki kwa
kushiriki katika shughuli zenye masilahi kwa Taifa.”
Viongozi wamiminika
Alisema pia hana ugomvi na Serikali na kwamba viongozi wake wamekuwa wakimiminika katika kanisa lake.
Aliwataja
viongozi hao kuwa ni Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, Waziri wa
Uchukuzi, Samuel Sitta, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
William Lukuvi na Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk Harrison
Mwakyembe.
Viongozi
wengine, alisema ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye,
Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee na wabunge wa Viti Maalumu, Dk
Mary Mwanjelwa na Vicky Kamata wote wa CCM
“Kama ningekuwa na ugomvi na Serikali viongozi hawa wasingekuja katika kanisa langu kwa nyakati tofauti. Hii inaonyesha nilivyo na uhusiano mzuri na Serikali,” alisema.
“Kama ningekuwa na ugomvi na Serikali viongozi hawa wasingekuja katika kanisa langu kwa nyakati tofauti. Hii inaonyesha nilivyo na uhusiano mzuri na Serikali,” alisema.
Alhamisi ijayo
Askofu Gwajima amewataka waumini wake kumsindikiza katika Kituo cha Polisi siku ambayo atahojiwa kwa mara nyingine. “Nitakwenda
Central Police Alhamisi saa moja asubuhi, nawaomba waumini wote mfike
katika eneo hilo lakini msilete fujo wala kumtukana mtu, kuweni watulivu
wakati wote nitakapokuwa nahojiwa,” alisema.
Askofu huyo alitakiwa kuhojiwa Alhamisi iliyopita lakini polisi waliahirisha kutokana na hali yake kutokuwa ya kuridhisha.
Hata
hivyo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova
alisema Jeshi la Polisi halitaruhusu mkusanyiko wa watu katika eneo hilo
wakati Askofu Gwajima atakapohojiwa.
“Atatakiwa
kufika na wakili wake na mtu mmoja ambaye ataona anafaa kuingia naye
kwenye mahojiano. Kama kuna waumini wanajiandaa kukusanyika katika ofisi
zetu hapa Central Polisi, wafahamu kwamba haturuhusu na wakikaidi
tutachukua hatua.”
Ilivyokuwa kanisani
Gwajima
alifika katika kanisa hilo lililopo kwenye viwanja vya Tanganyika
Packers Kawe saa 5.00 asubuhi na kupokewa kwa shangwe na waumini
walioanza kufika tangu saa 2.00 asubuhi.
Msafara
wa magari matatu; Toyota Land Cruiser mbili na Hammer, yaliwasili
kwenye viwanja vya kanisa hilo na kulakiwa na waumini walioyazingira kwa
shangwe na vigelegele wakitaka kumwona Askofu Gwajima.
Waumini hao walikuwa na shauku ya kumwona Gwajima na walionekana wakisukumana ovyo kila mmoja akitaka kumwona.
Akiwa
amevaa suti ya rangi ya kijivu na shati jekundu, Gwajima aliteremka
katika Hammer akishikiliwa na wasaidizi wake na kukalishwa katika kiti
cha magurudumu mawili kilichokuwa kikisukumwa na wasaidizi hao kuelekea
kwenye jukwaa la kanisa hilo.
Baada ya kufika, vikundi vya kwaya viliendelea kuimba na kucheza nyimbo mbalimbali za kumtukuza Mungu.
Gwajima
alizungumza na waumini wake kuanzia saa 5.30 hadi saa 6.45, akiwaeleza
kilichotokea kuanzia siku alipofika polisi kwa mara kwanza, mahojiano
hadi alipotoka hospitali.
Katika mahubiri yake, Gwajima alisema ataendelea kuwaonya viongozi wa Serikali na wa dini watakaokosea masuala mbalimbali.
“Sitajali ni kiongozi wa aina gani amekosea nitawakemea. Rais akikosea nitamkemea. Waziri akikosea nitamkemea na viongozi wa dini wakikosea nitaendelea kuwakemea,” alisema.
“Sitajali ni kiongozi wa aina gani amekosea nitawakemea. Rais akikosea nitamkemea. Waziri akikosea nitamkemea na viongozi wa dini wakikosea nitaendelea kuwakemea,” alisema.
On 05:13 by Unknown in HABARI No comments

Mahmoud Abbas
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas
amekataa kukubali mamilioni ya dola ambazo ni fedha za kodi ambazo
zilikuwa zimezuiliwa na Israeli.
Bwana Abbas alisema kuwa aliamua
kurudisha pesa hizo kwa sababu Israeli ilikuwa imekata kiasi fulani ili
kulipa kile ilichosema kuwa ni madeni kwa makampuni ya nchi yake.
Bwana Abbas alisema kuwa pesa zilizokatwa ni kama thuluthi moja ya pesa zote ambazo Israeli imekuwa ikizuia.
Amesema kuwa iwapo Israeli itakosa kulipa fedha zote hizo atapeleka kesi katika mahakama ya haki ya kimataifa ICC.
On 05:08 by Unknown in HABARI No comments

Ndege za kijeshi za Kenya
zimeshambulia maeneo ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab katika taifa
jirani la Somalia ,msemaji wa jeshi ameiambia BBC.
Ndege hizo
zililenga maeneo mawili ya jimbo la Gedo,linalotumiwa na wapiganaji hao
kuvuka na kuingia Kenya, msemaji huyo ameongeza.
Maeneo hayo mawili hutumiwa na wapiganaji hao kupanga mshambulizi nchini Kenya.
Wanajeshi wa AMISOM walitarajiwa kupeleka wanajeshi wao katika eneo hilo la Gedo lakini hadi sasa hawajafanya hivyo.
Hili
ni shambulio la kwanza la Kenya kwa shambulizi la alshabaab ambalo
lilisababisha mauaji ya watu 148 katika chuo kikuu cha Garissa wiki
iliopita.

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameapa kujibu shambulizi hilo kwa njia mbaya zaidi.
Msemaji
wa jeshi la Kenya David Obonyo ameiambia BBC kwamba Jeshi la Kenya
lilijibu vitisho kwa kutekeleza mashambulizi ya angani siku ya jumapili
usiku katika eneo hilo.
Hakuna maelezo zaidi ya oparesheni hiyo yaliotolewa.
Sunday, 5 April 2015
On 19:37 by Unknown in HABARI No comments

Rais wa Somalia
Mamlaka nchini Somalia imevifunga
vituo viwili vya redio nchini humo baada ya kutangaza habari za
wapiganaji wa Al-shabaab kuhusu shambulio la chuo kikuu nchini Kenya.
Kituo cha redio cha Sky FM na kile cha Shebelle vilifungwa huku mtangazaji na mkurugenzi wakikamatwa.
Vikosi
vya usalama nchini Somali vimekuwa vikiwakamata wanahabari ambao
hufanya mahojiano na wapiganaji wa Al-shabaab ama kutangaza habari zao.
On 19:34 by Unknown in HABARI No comments

Ibada katika kanisa moja la Kianglikana nchini Kenya ilikatizwa ghafla baada ya tishio la ugaidi siku ya Jumapili.
Waumini walihamishwa kutoka kanisani hilo baada ya gari moja kuingia ndani ya uwanja wa kanisa kimabavu.
Kenya iko katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya watu wasiopungua 150 kaskazini mwa taifa taifa hilo.
Ibada hiyo ya Pasaka iligeuka na kuwa mbio za mguu niponye baada ya waumini kuarifiwa kuhusu gari hilo lisilo na nia njema.
Askofu
wa kanisa hilo, Julius Kalu, amesema aliarifiwa kuhusu gari ambalo
liliingizwa ndani ya uwanja wa kanisa bila hilo idhini kabla ya
kusimamishwa kwenye lango kuu la kanisa lenyewe.
Askofu Kalu amesema waliokuwa ndani ya gari hilo walitoroka
Polisi waliitwa, na baada ya kulikagua gari hilo walilivuta hadi makao makuu ya polisi.
Mkuu wa polisi eneo la Mombasa Robert Kitur amesema hawakupata kitu, lakini wamelizuia gari hilo kwa uchunguzi zaidi.
On 19:25 by Unknown in HABARI No comments

Katika maadhimisho ya ibada ya
sikukuu ya Pasaka, baada ya mateso,kifo na ufufuko wa Yesu Kristo,Baba
Mtakatifu Francis amewaombea wanafunzi waliouawa nchini Kenya mwishoni
mwa wiki iliyopita.
Katika utaratibu wake wa kawaida wa kutoa
ujumbe katika sikukuu ya pasaka,akizungumza na umati wa waumini
waliofurika katika viwanja vya Basilica ya Mtakatifu Peter mjini
Vatican, Papa ametoa mwito wa kusitisha kile alichokiita matukio mengi
ya mateso ya wakristo ulimwenguni.
Kiongozi huyo wa kiroho
anayeongoza waumini wa madhehebu ya kikatoliki wapatao bilioni moja
nukta mbili ,amelaani mgogoro unaondelea Mashariki ya kati na
kwingineko, lakini ameweka imani yake katika mazungumzo yanayoendelea
juu ya mkataba wa vinu vya nyukilia vya Irani ,wenye mwanga wa matumaini
wa kufikiwa makubaliano na kuifanya dunia kuwa mahali salama pa kuishi.
Kabla
ya kuanza hotuba yake,Papa alikwenda katika viwanja hivyo vya Basilica
la Mtakatifu Petro kuwasalimia waumini waliokuwa wakimsubiri pamoja na
kwamba kulikuwa na hali mbaya ya hewa.
On 19:23 by Unknown in HABARI No comments

Serikali ya Kenya imemtambua mmoja
ya wapiganaji waliohusika katika mauaji ya chuo kikuu cha Garissa kwamba
ni mtoto wa afisa wa serikali.
Msemaji wa wizara ya ndani amesema
kuwa Abdirahim Abdullahi ni miongoni mwa watu wanne walioshambulia chuo
kikuu cha Garissa siku ya alhamisi na kuwaua watu 148.
Mtu huyo sasa ametambulika kama mwana wa kiume wa Chifu wa eneo la Kazkazini mashariki mwa kenya.
Alidaiwa kutoweka na ilihofiwa kwamba amesafiri nchini Somalia.
Wizara ya ndani inasema kuwa wapiganaji wote waliuawa siku ya alhamisi.
Washukiwa
wengine watano wamakamatwa kufikia sasa kwa kuhusishwa na mauaji hayo
ambayo ni mabaya zaidi kuwahi kutekelezwa na kundi la wapiganaji wa
Alshabaab.
Saturday, 4 April 2015
On 03:19 by Unknown in HABARI No comments

Machi 31 mwaka huu, mwanamke mmoja mkazi wa Bwai wilayani Butiama, Kudra
Nanja alifanyiwa ukatili na mumewe wa kuchomewa ndani ya nyumba kwa
petroli, tukio lililosababisha mtoto wake Tatu Simioni aliyekuwa na umri
wa mwezi mmoja na nusu kufariki dunia.
On 03:15 by Unknown in HABARI No comments

Mahojiano
baina ya Jeshi la Polisi na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,
Josephat Gwajima yaliyokuwa yanatarajiwa kuendelea jana, ikiwa ni siku
mbili baada ya kuachiwa kwa dhamana na jeshi hilo, jana yalikwama
kuendelea kutokana na kile kilichoelezwa kutoimarika kwa afya ya askofu
huyo, na sasa yatafanyika Alhamisi ijayo.
Gwajima
alidaiwa kuzimia wakati akihojiwa na makachero wa Polisi waliokuwa
wanamhoji, alipojisalimisha alasiri ya Ijumaa iliyopita baada ya
kutakiwa kufanya hivyo, kutokana na kufunguliwa jalada la malalamiko ya
kumkashifu Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam,
Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo.
Kutokana
na hali hiyo iliyotokea majira ya saa tatu usiku wakati akiendelea na
mahojiano yaliyoanzia alasiri, alikimbizwa Hospitali ya TMJ, Mikocheni
akiwa chini ya ulinzi wa Polisi hadi aliporuhusiwa kutoka Jumanne wiki
hii na baadaye kuachiwa kwa dhamana.
Mwanasheria
wa Askofu Gwajima, John Mallya alithibitisha kuahirishwa kwa mahojiano
kati ya mteja wake na Polisi, akisema mapema jana asubuhi aliripoti
Kikuo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kama alivyotakiwa kuripoti kituoni
hapo kwa ajili ya mahojiano.
Hata
hivyo, alisema hakuweza kuhojiwa kutokana na kile kinachoelezwa kuwa
afya ya mteja wake haijaimarika vizuri na hivyo wamepangiwa kurudi tena
kituoni hapo Aprili 9 mwaka huu, yaani Alhamisi ijayo kwa ajili ya
mahojiano.
“Mteja
wangu alifika kituoni leo (jana) asubuhi kwa ajili ya mahojiano na pia
kuripoti kama ilivyoagizwa siku alipopatiwa dhamana, hata hivyo afya
yake bado haijaimarika na hivyo imewalazimu polisi wampatie muda zaidi
hadi Aprili 9 atakaporudi tena kwa ajili ya mahojiano,” alisema Mallya.
Hata
hivyo, Mallya alisema hali ya afya ya Gwajima imeanza kuimarika na
kadri siku zinavyozidi kwenda, atakuwa na nguvu na ataendelea na kazi
zake kama kawaida.
Mtumishi
huyo alipatiwa dhamana katika Kituo cha Polisi Oysterbay na kutakiwa
kuripoti Kituo Kikuu cha Kati kwa ajili ya mahojiano zaidi na kusubiri
uchunguzi wa kesi yake ukamilike.
On 03:14 by Unknown in HABARI No comments

Majaliwa
ya kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Nchini ,
Shehe Ponda Issa Ponda, ambayo ipo kwenye hatua ya utetezi itapatikana
miezi mitatu ijayo.
Hiyo
inatokana na hakimu anayesikiliza kesi hiyo Hakimu Mwandamizi wa
Mahakama hiyo, Mary Moyo kuanza rasmi likizo ya uzazi ya miezi mitatu
na hivyo Hakimu Mfawidhi wa wilaya ya Morogoro Maua Hamduni kuiahirisha
hadi Aprili 16, mwaka huu ambapo itatajwa tena mahakamani hapo.
Mtuhumiwa
alifikishwa mahakamani hapo pasipo mawakili wake wa utetezi , ambapo
kwa jana upande wa mashtaka uliongozwa na Wakili wa Serikali, Sunday
Hyera.
Kabla
ya kuanza kutoa maelezo ya kuahirishwa kwa kesi, Hakimu huyo
alimuuliza Shehe Ponda juu ya kutoonekana kwa mawakili wake mahakamani
hapo na endapo anazo taarifa zao , naye alijibu kuwa hakuwa na taarifa
zao.
Kesi
hiyo kwa sasa ipo katika hatua ya upande wa mashtaka kujibu hoja
zilizotolewa na upande wa utetezi baada ya kufungwa kwa ushahidi ambazo
zilidai kuwa Shehe Ponda hakuwa na kesi ya kujibu.
Kutokana
na hatua ilipofikiwa , Hakimu huyo, alisema pamoja na Hakimu Moyo
anayeisikiliza kesi hiyo tangu mwanzo kuwa katika mapumziko ya likizo ya
uzazi ya miezi mitatu, kisheria haiwezekani shauri hilo ikabadilishiwa
hakimu mwingine bali itaendelezwa naye baada ya kumaliza likizo ya
uzazi.
Kwa
mujibu wa Hakimu huyo, kwa hivi sasa kesi ya Shehe Ponda itaendelea
kutajwa mahakamani hapo hadi hakimu wake atakapoanza kazi baada ya
kumaliza likizo hiyo .
Kufuatia
maamuzi ya hakimu huyo, Shehe Ponda alinyosha kidole mbele ya hakimu
huyo na kupewa nafasi ya kuzungumza ambapo alimwambia hakimu kuwa kwa
vile kesi yake itakuwa ikitajwa pekee, anaomba siku ya kufikishwa
mahakamani abakie magereza ili kuondoa usumbufu.
Shehe
Ponda alidai kuwa, ingekuwa ni jambo nzuri siku ya kutajwa kwa kesi
yake iitwe fomu yake na kugongwa muhuri wa Mahakama , wakati akiwa
gerezani .
Hata
hivyo hakimu huyo alimjibu Shehe Ponda kuwa, kisheria njia hiyo
hairuhusiwi , kwani kinachozingatiwa ni kwa mtuhumiwa kufikishwa
mahakamani na hakimu kumwona kwa macho yake na kuiahirisha kwa msingi
huo na si vinginevyo.
Hakimu
huyo alimuuliza Sheikh Ponda kuwa yeye haoni kuwa ni fursa kuja uraiani
kuonana na kusalimiana na ndugu zake na kujibiwa na Sheikh Ponda kuwa,
yeye amezoea kukaa gerezani hivyo haoni sababu hizo.
Tofauti
na siku nyingine inaposikilizwa kesi hiyo ambapo wafuasi wake hufurika
nje ya uzio wa mahakama hiyo , jana, walijitokeza wachache hawakuzidi
watu 10 ambao hawakuweza kufanya jambo lolote la kusoma Quraan na
kufanya maombi .
Shekhe
Ponda alifunguliwa kesi namba 128/2013 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
mkoa wa Morogoro akikabiliwa na mashtaka matatu ambayo aliyatenda
Augosti 10, mwaka 2013 katika eneo la Kiwanja cha Ndege Manispaa ya
Morogoro na alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Agosti 19
mwaka 2013.
On 03:05 by Unknown in HABARI No comments
Wanawake wa mjini wanasema makubwa, madogo yana nafuu! Msemo huo
unakwenda sambamba na tukio la hivi karibuni la mwanamke mmoja
aliyetajwa kwa jina la Rukia Mabeseni mkazi wa Kigogo jijini Dar kukodi
ngoma ya kibao kata kwa lengo la kwenda kumsuta shoga yake aitwaye mama
Mariam.
Rukia Mabeseni akimsuta shoga yake pamoja na wenzie.
“Shost wangu, huyu mama Mariam huyu aliwahi kumzawadia mwanangu baiskeli katika sherehe yake ya kuzaliwa, nikashukuru na nikajua shoga ninaye.“Cha ajabu juzijuzi hapa alikuwa na sherehe yake, bahati mbaya mimi sikuwa kwenye hali nzuri, nikampelekea zawadi ndogo, hee! Kumbe mwenzangu hajaridhika.
“Si akaanza kunisema vibaya kwa watu, eti
kama hali yangu ilikuwa mbaya kwa nini sikusema mapema badala ya
kumpelekea matambara, kwa kweli iliniuma sana.“Ndiyo nimeamua
kumrudishia zawadi yake ya baiskeli kwa staili hii ili aweke kumbukumbu
kuwa alichonifanyia si kitu kizuri,” alisema Rukia.
Wakizidi kumsuta.
Hata hivyo, baada ya Rukia kusikia kuwa wameenda kushitakiwa, walirudi tena ambapo safari hii mama Mariam alikubali yaishe kwa kuomba msamaha. “Ameomba msamaha na amefuta kesi kwa sababu alisema kuwa alighafirika tu, hata hivyo alinipigia simu na kuniambia anaumwa anaomba tuongee yaishe ikibidi tukamuone tumalize tofauti zetu,” alisema Rukia.
Thursday, 2 April 2015
On 03:55 by Unknown in HABARI No comments
Ligue 1 giants Paris Saint Germaine are reportedly lining up a
sensational bid for struggling Manchester United winger Angel di Maria, in the
summer.
The Argentine international,
who joined the Red Devils in a British transfer record last summer from Real
Madrid, has struggled to adapt to the English game.
The Parisians were keen to sign the
27-year old last summer but the move fell through due to the Financial Fair
Play regulations before he moved to Old Trafford in a staggering £59.7m deal.
The Premier League’s most expensive
signing has not lived up to expectations at Old Trafford and it is suggested
that United are ready to cut their losses at the end of the season.
United manager Louis van Gaal
recently admitted that he has no guarantee that Di Maria will be at Old
Trafford next season.
Speaking to reporters, the Dutch
tactician said: "As a manager, you can never say 'yes' or 'no'
because the player shall always decide at the end.
The Parisians are reportedly
ready to test United’s resolve to keep the attacker with a £60m bid.
On 03:21 by Unknown in HABARI No comments

Bei
za mazao katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za Pasaka katika
soko la Kariakoo zimeongezeka kutokana na imani iliyojengeka kwa wafanya
biashara kuwa uwezo wa manunuzi unakuwa juu.
Meneja
Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam, Florens
Seiya alisema jana katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari.
Seiya
alisema kila inapofikia kipindi cha sikukuu kubwa za kidini, imekuwepo
desturi kwa wafanyabiashara nchini kupandisha bei za vitu sio kwenye
bidhaa tu hata nguo ama usafiri.
Alitaja
bidhaa zinazopanda bei katika kipindi hiki kuwa ni nyanya maji,
vitunguu maji, pilipili hoho, vitunguu swaumu, tangawizi, karoti,
njegere, matunda mbalimbali na mchele. Alisema wastani wa ongezeko za
bei hizo ni Sh 5,000 hadi 100,000 kutokana na aina ya mazao.
Alitolea
mfano nyanya kwa kawaida hivi sasa boksi ni Sh 35,000 lakini kipindi
hiki imekuwa Sh 40,000. Mchele gunia ni Sh 150,000 kipindi cha sikukuu
ni Sh 200,000. Tangawizi awali gunia liliuzwa Sh 200,000 hivi sasa ni Sh
300,000.
On 03:18 by Unknown in HABARI No comments

Licha ya Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na
Uzima, Josephat Gwajima kukanusha mara zote kwamba, hahusiki na
kusambaratika kwa ndoa ya Mwimba Injili Flora Mbasha na mumewe, Emmanuel
Mbasha, lakini mume huyo ambaye amekuwa akimshutumu Gwajima ameibuka na
jipya.
Jipya aliloibuka nalo Mbasha ni kudai kuwa, msala uliompata Mchungaji
Gwajima wa kumtolea maneno yenye kuudhi Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo
Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycap Kadinali Pendo na kisha kuhojiwa
polisi na kupata mshtuko, kuzimia hadi kulazwa hospitali ni malipo ya
Mungu kwake kutokana na kilio chake.
Akizungumza na Amani kwa njia ya simu kwa dakika 15 juzi, Mbasha
alisema: “Ile hali (kupoteza fahamu) ya Gwajima ni malipo. Mimi
nilishasema jamani, mtu akikutendea ubaya malipo ni hapahapa duniani,
hakuna kwingine.
“Mimi ndoa yangu haipo, mke wangu anajua yeye anavyoishi. Kwa hivyo
mimi nimekuwa nikiishi kwa manung’uniko kila siku, unadhani nini
kitatokea kwake?”
Mbasha alikwenda mbele zaidi kwa kutoa tamko na agizo kwa mchungaji huyo kwa kusema:
“Tena namwomba Mungu ampe afya Gwajima, akitoka hospitali alikolazwa (TMJ, Dar) anitafute kuniomba msamaha.
“Ni vyema na itakuwa vyema zaidi akinitafuta na kuniomba msamaha ili
kila mmoja aishi kwa amani. Mimi nisiwe na kinyongo na yeye na wala yeye
asiwe na kinyongo na mimi.”
Mbasha hakumalizia hapo, alipoulizwa kama kauli ya Gwajima iliyosababisha mtafaruku ilikuwa sawasawa au la! Mbasha alisema:
“Hilo atajua yeye mwenyewe na Mungu wake, mimi sijui. Ila ninachojua
mimi ni kitu kimoja tu, kwamba Mungu amenilipia basi, sasa aniombe
msamaha.”
Naye mchungaji mmoja wa kanisa la Gwajima alipopatikana kwa simu na
kuulizwa kuhusu madai ya Mbasha, alisema:
“Yule hajui maandiko sawasawa. Hakuna uhusiano wowote kati ya kilichompata mchungaji wangu na hisia zake kuhusu mkewe Flora.
“Yule hajui maandiko sawasawa. Hakuna uhusiano wowote kati ya kilichompata mchungaji wangu na hisia zake kuhusu mkewe Flora.
“Gwajima na Flora hawana uhusiano wowote usiofaa. Sasa yeye anaposema
kalipiwa, kalipiwa kitu gani? Mungu anaweza kulipa jambo la hisia?”
Wiki mbili zilizopita, kwenye Viwanja vya Tanganyika Perkers ambako
kuna kanisa, Gwajima alitoa mahubiri yaliyolenga kumshutumu Kadinali
Pengo kwa kitendo chake cha kwenda kinyume na maazimio ya Baraza la
Maaskofu Tanzania kuhusu msimamo wao wa Mahakama ya Kadhi nchini.
Hali hiyo ilimfanya Gwajima kuitwa Polisi Kituo cha Kati, Dar na
kuhojiwa. Akiwa katika mahojiano, ghafla alisikia kizunguzungu,
akaanguka na kupoteza fahamu. alikimbizwa katika Hospitali ya Polisi
Baracks kisha Hospitali ya TMJ, Dar kwa matibabu zaidi.
Juzi, Gwajima aliruhusiwa kutoka hospitalini hapo lakini akachukuliwa
hadi Kituo cha Polisi Oysterbay kwa mahojiano zaidi na kuachiwa kwa
dhamana.
On 03:17 by Unknown in HABARI No comments

Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi wa
Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa
Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4, kwa kuwa
hajafika mahakamani.
Aidha
imetoa hati kwa wadhamini wa Mujunangoma kufika mahakamani kujieleza
kwa nini wasichukuliwe hatua kutokana na kitendo chao na mshitakiwa
kutofika mahakamani.
Hakimu
Mkazi Emmilius Mchauru alitoa hati hizo jana wakati kesi hiyo
ilipotajwa kwa ajili ya kusikiliza pingamizi, lililowasilishwa na upande
wa utetezi.
Awali,
Wakili kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru),
Leonard Swai aliiomba mahakama kutoa hati hizo kwa kuwa mshitakiwa na
wadhamini wake hawajafika mahakamani bila kutoa taarifa.
Hakimu
alikubali ombi hilo na kuahirisha kesi hiyo hadi Mei 4, mwaka huu, kesi
itakapotajwa tena. Mujunangoma anadaiwa kupokea rushwa ya Sh milioni
323.4 kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engineering and Marketing, James
Rugemalira.
Kwa
mujibu wa taarifa zilizopatikana nje ya mahakama kutoka kwa watu
wanaodai ni ndugu wa mshitakiwa, Mujunangoma alipata shinikizo la damu
akiwa njiani kuja mahakamani hivyo alipelekwa katika Hospitali ya Arafa,
Tabata, na kulazwa.
Ilidaiwa
kuwa walitoa taarifa kwa mdhamini ili afike mahakamani kutoa taarifa
lakini alichelewa na kukuta kesi imeshatajwa na hati hizo zimetolewa.
Mujunangoma
anadaiwa Februari 5, 2014 katika Jengo la Benki ya Mkombozi, alipokea
rushwa ya Sh milioni 323.4 kutoka kwa mmiliki wa Kampuni ya kufua Umeme
ya VIP Engineering and Marketing ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa
Kampuni ya IPTL, James Rugemalira.
Inadaiwa
Mujunangoma, alipokea fedha hizo kupitia akaunti 00120102602001 kama
tuzo baada ya kushughulikia masuala ya Kampuni ya IPTL kama mfilisi,
bila kumtaarifu mkuu wake wa kazi ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Tume ya Maadili ya Viongozi wa
Umma.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Search
Popular Posts
-
Iko hivi yani, Nimekua siwezi kujizuia hata kwa mwezi tu mmoja bila kutiwa na mwanaume yani mwanaume wangu, ikitokea nimeachana na ...
-
Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujeng...
-
Basi kichwa cha mboo kikiwa juu ya kisimi chake alizidi kuhema kwa nguvu na mi bila huruma niliendelea kumsugua kisimi kwa kichwa cha mb...
-
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zil...
-
Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mt...
-
Wengine wanapenda sana wanawake wenye kina kirefu na wenginewenye kina kifupi. Hata hivyo, machaguo hayo huendana na urefu wa uume wa...
-
Baada ya kukosa kazi katika sehemu za mambo ya massage kutokana umbile kubwa alilonalo hatimaye mwanamama huyu aja na mbinu kabambe ye...
-
No.1. Jennifer Lopez Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na ...