Showing posts with label WASANII. Show all posts
Showing posts with label WASANII. Show all posts
Monday, 6 April 2015
On 05:24 by Unknown in WASANII No comments

Msanii
wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amesema kuwa migogoro yote
inayomtokea aliyewahi kuwa mwandani wake, Emmanuel Elibariki ‘Nay’ ni
kutokana na laana ya kumsambazia picha zake za utupu.
Akiongea na mwandishi wetu, Bozi alisema tatizo kubwa lililomkuta Nay kwa mpenzi wake Siwema kumfumania na njemba ni malipo ya kupuuza penzi lake na dhambi kubwa aliyomtendea ya kusambaza picha zake za utupu alizomtumia wakati walipokuwa kwenye uhusiano.
“Nilimpenda mno Nay lakini fadhila ya penzi langu akaona anidhalilishe kwa kuanika picha zangu za utupu kwenye mitandao ya kijamii, jambo linalonisononesha mpaka kesho, naamini yaliyomtokea ni laana yangu anayotembea nayo kwani bado sijamsamehe kwa kitendo kile cha ajabu alichonifanyia,” alisema Bozi.
On 05:16 by Unknown in WASANII No comments

Rapper Nay wa Mitego amesema amejiandaa kisaikolojia kupokea majibu ya kipimo cha DNA alichopima baada ya aliyekuwa mpenzi wake, Siwema kugombana naye na kudai mtoto aliyezaa naye si wake.
Nay ameiambia Bongo5 kuwa bado zimebaki siku chache ili apewe majibu yake huku akidai kuwa amefanya hivyo ili kuandaa maisha ya mtoto wake ya baadaye.
“Mimi ni binadamu nimeshapitia mengi nilikotoka mpaka hapa nilipo na jibu lolote likija nitalikubali,”amesema.
“Kama sio mtoto wangu kama alivyosema basi nitamrudisha kwa baba yake japokuwa nitakuwa na maumivu lakini kuna wakati unaohitaji kufanya maamuzi magumu. Mimi sina ugomvi naye sema nimemchukua mwanangu baada ya kuona ana kazi nyingi. Nina imani huyu ni mwanangu hivi vingine vipo tu. Unajua hakuna mtu asiyefahamu kama Siwema ni mpenzi wangu na alivyovifanya kaamua tu na mimi nimeamua kwenda kupima DNA ili kumfanya mwanangu aishi maisha ya amani akikua, atajisikia vibaya akisikia huyo siy baba yako, lakini kama kutakuwa na vielelezo basi ni wazi atakuwa huru na amani,” ameongeza rapper huyo.
Kwa upande mwingine Nay alisema kuwa mgogoro huo umemharibia ratiba zake za muziki.
“Kama nilivyokuwa nimeahidi ninakuja tena na kazi mpya nikiwa na Diamond, hii sidhani kama itawezekana kwa sababu mimi nilingia kwenye matatizo ya kifamilia nikashindwa kufanya kazi zangu vizuri. Pia Diamond alikuwa anauguza, lakini nawaahidi mashabiki wa muziki wangu ndani ya wiki mbili nitaachia ngoma. Huenda ikawa ni hii ambayo nimefanya na Diamond au mimi mwenyewe au kolabo ya kimataifa. Ndani ya wiki hizi mbili kila kitu kitakuwa tayari.”
Sunday, 5 April 2015
On 19:32 by Unknown in WASANII No comments

Msanii wa Kenya, Atemi na mwanamuziki wa Tanzania Lady Jaydee wametoa kibao kipya kwa jina 'MOYO'.
'Moyo' ni wimbo kuhusu mapenzi ya matukio tofauti .
Katika wimbo huu Atemi anasema kuwa haijalishi penzi lina mvuto wa kiasi gani mwishowe bado linasalia kuwa penzi.
Wimbo huo uliotungwa na Atemi Oyungu ni 'single' ya kwanza kutoka album yake mpya ya tatu.
Wimbo huo umeandaliwa na R-kay ambaye pia aliandaa wimbo mwengine wa Atemi 'Usijali' akiimba na Delvin Savara wa Sauti Sol.
On 19:31 by Unknown in WASANII No comments

Mwanamama nguli na nyota wa kipindi
cha runinga cha The Keeping Up with the Kardashians,Kim West ambaye ana
mtoto mwenye umri wa miezi 21 North West aliyezaa na mumewe Kanye
West,imeelezwa na mumewe huyo Kanye ,mkewe hataki chochote katika
ulimwengu huu zaidi ya kupata mtoto mwingine ,lakini madaktari
wamemuonya anaweza kukabiliwa na hatari kiafya.
Katika kipande cha
kipindi kinachofuata cha kipindi cha mwanamama huyo ambacho kitarushwa
katika runinga ya E’ inayojihusisha na masuala ya burudani na huenda
kipande hicho kitarushwa mwishoni mwa wiki hii ,kipande hicho
kinamuonesha Kim akielezea alichoambiwa na daktari wake kuwa anajaribu
kumficha Kanye West anachotakiwa kwenda kufanyiwa na madaktari kuondoa
kitu kilichoko kwenye kizazi chake.
Na ilipobidi kumkabili mumewe
huyo, ambaye ni nguli wa muziki wa tambo,alipomwambia juu ya suala hilo
tete, alikubaliana nalo na kumwambia endapo atafanikiwa kupata mtoto wa
pili atakuwa wa mwisho kwasababu kondo la uzazi linakua kwenye kizazi
chake.

lakini baadaye mrembo huyo
alionekana kukata tamaa ya kupata mtoto mwingine,na akaeleza wazi kuwa
alipokuwa mjamzito wa mtoto wao wa sasa North,alikuwa akiwaambia watu
wake wa karibu kwamba hakuna kiwango cha pesa duniani atakachoweza
kulipwa kurejea tena katika maumivu ya uchungu wa kuzaa.
Lakini,kwasasa
hakuna kitu ninachokihitaji zaidi ulimwenguni kama kuwa mjamzito
tena,nina pata hasira kidogo kwamba watoto wangu wataachana miaka
kadhaa.
Siku za karibuni Kim alitoa ya moyoni kwa kueleza kwamba
ulikuwa ni muujiza kuipata mimba ya mtoto wake North kwasababu madaktari
walisha mwambia kuwa milele hataweza kubeba ujauzito .
Saturday, 4 April 2015
On 03:26 by Unknown in WASANII No comments
HIVI NI KWAMBA MASTAA WAKIHISI KUWA HAWAONGELEWI NJIA PEKEE YA KURUDISHA
UMAARUFU NI KUTUPIA PICHA ZISIZOKUWA NA MAADILI MTANDAONI?
HIVI PUNDE MSANII RECHO AMEWEKA PICHA AMBAZO KIUKWELI HAZINA MAADILI KWANI ZINAACHA SEHEMU KUBWA YA MWILI WAKE UKIWA HAUJAFUNIKWA KABISA, PICHA HIZO AMBAZO MAPAJA YOTE YAKO NJE ZIMEPONDWA SANA NA MASHABIKI AMBAO WAMEONYESHA KUTOKUBALIANA NAZO KABISA PICHA HIZO
HIVI PUNDE MSANII RECHO AMEWEKA PICHA AMBAZO KIUKWELI HAZINA MAADILI KWANI ZINAACHA SEHEMU KUBWA YA MWILI WAKE UKIWA HAUJAFUNIKWA KABISA, PICHA HIZO AMBAZO MAPAJA YOTE YAKO NJE ZIMEPONDWA SANA NA MASHABIKI AMBAO WAMEONYESHA KUTOKUBALIANA NAZO KABISA PICHA HIZO
DUUUH...HII NI LAANA KWELI. HIVI WANAFANYA MASHINDANO AU VIPI HAWA!
On 03:21 by Unknown in WASANII No comments

Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi
ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake
uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa
ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake
ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
“Ilikuwa ghafla ukuta wa nyumba yangu ya Tegeta ukaanguka wakati huo
nilikuwa natakiwa kulipia fedha kwa ajili ya kurekodi wimbo wangu mpya.
“Hivyo nisingekuwa nimejiunga na bima sijui sasa ningekuwa kwenye hali
gani? Ni kipindi kigumu sana kwangu,’’ alieleza Diamond huku akiwataka
Watanzania wajiwekee bima kwa kuwa ina msaada mkubwa unapopatwa na
majanga mbalimbali ya vitu ulivyokatia bima hiyo.
Naye, Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa UAP, Raymond Komanga,
aliwasisitizia Watanzania waondoe fikra za kwamba bima inayokatwa ni ya
gari pekee bali wakate bima za aina mbalimbali.
On 03:07 by Unknown in WASANII No comments
Kazi ipo! Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo
Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari’ juzikati
alizua kizaazaa kisa ujauzito alipohudhuria kwenye msiba wa aliyekuwa
bosi wa Tip Top Connection, Abdul Taletale ‘Abdul Bonge’ aliyefariki
dunia ghafla wikiendi iliyopita.
Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari akifichwa na bodigadi wake.
ILIKUWAJE?
Awali, katika tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa mapema Jumanne wiki hii, Zari na Diamond, wakiwa wameongozana na wapambe wao walifika eneo la msiba ambapo kwa taratibu za Kiislam, wanawake hawachanganyiki na wanaume hivyo Zari akachukuliwa kwenda upande mwingine huku Diamond akielekea upande wa wanaume.
HALI YA HEWA YABADILIKA
Mara baada ya mastaa hao kutinga eneo hilo, umati mkubwa uliokuwa msibani hapo ulianza kuwazingira huku kila mmoja akitaka kuwaona.
Akiingizwa garini.
Akiwa upande wa wanawake wenzake, Zari alijikuta akizungukwa na baadhi ya watu walionekana wazi kumchunguza kuanzia miguuni hadi kichwani ikidaiwa kuwa, walikuwa wakic
heki kama kweli ana mimba ya Diamond.
“Mwee, huyu ndiye Zari wa Diamond! Hivi mimba anayo kweli au ndiyo haya mambo ya mastaa wetu, mhh lakini kweli kitumbo kama kimetuna vile,” alisikika akisema mmoja wa wanawake hao.Uwepo wa mwanadada huyo uliwafanya wengi kusahau ishu ya msiba na kujikuta wakipigana vikumbo kumshangaa Zari ambaye muda mwingi alikuwa akijificha.
Kutokana na mazingira ya watu kukanyagana kutaka kumuona staa huyo, mrembo aliyefahamika kwa jina la Jestina George aligeuka kuwa bodigadi wake ili kumuepushia usumbufu ambapo alifanya kazi ya kumlinda.
PAPARAZI AZUIWA KUMPIGA PICHA
Paparazi wetu aliyekuwa eneo la msiba kwa lengo la kupata picha za
kumbukumbu kwamba Zari aliwahi kufika eneo hilo, alikumbana na wakati
mgumu baada ya Jestina kumpiga mkwara asijaribu kupiga picha.
“Weee, ukijaribu kupiga picha tunakorofishana, mwenyewe hataki kupiga
picha, kama vipi nenda kamuombe ruhusa Diamond,” alisema Jestina huku
akimficha Zari.
Diamond akiimalisha usalama kwa mpenzi wake.
Kufuatia kitendo cha Jestina kumzuia mwandishi wetu kupiga picha, zogo lilianza eneo hilo huku baadhi ya watu wakihoji sababu za Zari kufichwa.“Au ni hiyo mimba yake ndiyo maana hamtaki apigwe picha? Acheni hizo bwana,” alisikika akiwaka kijana mmoja.
PAPARAZI AMFUATA DIAMOND
Baada ya paparazi kupigwa mkwara asipige picha alilazimika kwenda kumtafuta Diamond ili ampe ruhusa ya kwenda kumfotoa Zari lakini staa huyo naye alikataa na kueleza kuwa, kama anataka kufanya hivyo akachukue ruhusa kutoka kwa meneja wake.
Meneje huyo wa Diamond aliyefahamika kwa jina moja la Salam alipofuatwa alimruhusu paparazi kufanya kazi yake lakini aliporudi nyumbani palipokuwa na msiba kwa nia ya kumfotoa Zari, hali ilikuwa ileile hivyo kumsubiria mpaka Diamond alipotoka makaburini na alipofika kwenye gari lao, Zari alitolewa kwa kufichwa na Jestina kiasi cha kuwepo ugumu kupata sura yake.
ZARI AINGIA KWENYE GARI FASTA
Huku watu wakimfuata kwa nyuma, Jestina alimchukua Zari na kumficha kwapani kisha kumkimbizia kwenye gari tayari kwa kuondoka eneo hilo.
DIAMOND NAYE APATA WAKATI MGUMU
Wakati Diamond akirejea kutoka makaburini, alijikuta akizingirwa na baadhi ya vijana ambao wengi wao hawajawahi kumuona ‘live’ hivyo kumpa wakati mgumu.Hata hivyo, ili kuwafurahisha, vijana hao walipata fursa ya kupiga naye stori mbili-tatu kabla ya kuondoka eneo hilo na kuacha umati ukiwasindikiza kwa macho.
Wednesday, 1 April 2015
On 10:12 by Unknown in WASANII No comments

Picha
chafu za mwanadada maarufu nchini Kenya, Risper Faith zimevuja
na kusambaa kwa kasi katika mitandao maarufu ya Kenya na
Uganda.
Picha hizo ambazo zinadaiwa kusambazwa na mpenzi wake baada ya kuzinguana, zinamwonyesha mwanadada huyo akiwa ametunuka huku makalio yake na mambo mengine adimu yakiwa hadhari na picha nyingine inaanika kila kitu kama alivyozaliwa.
Picha hizo ambazo zinadaiwa kusambazwa na mpenzi wake baada ya kuzinguana, zinamwonyesha mwanadada huyo akiwa ametunuka huku makalio yake na mambo mengine adimu yakiwa hadhari na picha nyingine inaanika kila kitu kama alivyozaliwa.
Monday, 30 March 2015
On 19:18 by Unknown in WASANII No comments
On 18:49 by Unknown in WASANII No comments
Lol......controversial Tanzanian singer and actress Baby Madaha says she
has a problem of dreaming having sexy with a man who looks like
Cristiano Ronaldo.
Speaking with Globalpublishers the scandalous celeb said she always gets that dream and it has reached a stage where she doesn't feel having a lover, According to Madaha she gets so tired when she wakes up in the morning because of that strange dreams.
"it is true mysterious romantic dreams disturbs me a lot, you can't believe I have been dreaming having sexy with a man who looks like Cristiano Ronaldo(international footballer palys for Real Madrid)" said Madaha
Speaking with Globalpublishers the scandalous celeb said she always gets that dream and it has reached a stage where she doesn't feel having a lover, According to Madaha she gets so tired when she wakes up in the morning because of that strange dreams.
"it is true mysterious romantic dreams disturbs me a lot, you can't believe I have been dreaming having sexy with a man who looks like Cristiano Ronaldo(international footballer palys for Real Madrid)" said Madaha
Sunday, 29 March 2015
On 20:49 by Unknown in WASANII No comments

Ni hivi karibuni tu aliachana na mume wake, Nick Cannon baada ya
kuishi kwa miaka sita lakini Mariah Carey hajataka kuruhusu matatizo
yake binafsi yaathiri muziki wake na ndio maana yupo kwenye ziara barani
Asia.
Muimbaji huyo mwenye miaka 44 Jumapili hii alikuwa na show huko
Chengdu katika jimbo la Sichuan, China na kuwapa si tu burudani lakini
pia kuwaonesha kufuli lake nje nje.


On 20:46 by Unknown in WASANII No comments

Baada ya kuzaa tu hii ndio picha ya kwanza mwanadada Amber Rose kutupia mtandaoni.
On 19:40 by Unknown in WASANII No comments

Staa
wa kike anayetesa katika filamu za kibongo Halima Yahya
'Davina' amefunguka kuwa mumewe anamuonea sana wivu kiasi cha
kumfanya ajihisi kama malkia katika ndoa yao.
Akiteta na Mpekuzi, Davina alisema: "Mume wangu ananionea sana wivu hasa siku hizi nilizojazia, lakini wivu wake unaongeza chachu ya mapenzi.
"Yaani
nikichelewa kidogo tu anagomba mpaka baaasi.Lakini kwangu mimi
sioni kama ni kero.Najisikia furaha kuona nipo na mwanaume
anayenipenda kwa dhati."
On 19:38 by Unknown in WASANII No comments

Lile sakata la mtoto kuwa si wa Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa
Mitego’ kwa mujibu wa madai yaliyotolewa na mzazi mwenzake, Siwema
limeingia hatua nyingine baada ya ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
kusema majibu kamili ya kipimo cha vinasaba ‘DNA’ yatatolewa Aprili 8,
mwaka huu.
Akizungumza na Risasi Jumamosi juzi jijini Dar, Nay alisema kila kitu
kimekwenda sawa, hivyo anachosubiri ni hayo majibu ili ajue moja kwamba
mtoto huyo mwenye miezi mitatu ni wa nani kati yake yeye na mwanaume
aliyetajwa na Siwema mwenyewe.
“Ndiyo natoka sasa kwenye ofisi ya mkemia. Hukumu ya DNA ile ni baada
ya wiki mbili kuanzia leo (juzi Alhamisi). Lakini we acha tu. Mh!
Nimeshafanya kila kitu, ni wao tu,” alisema Nay.
Aliongeza: “Ila mimi nashangaa. Yule mkemia aliyenipima, kaniambia,
‘Nay hukuwa na haja ya kupima DNA, mbona kwa uzoefu wetu hapa
ukimwangalia mtoto anaonekana ni wako, ila kwa sababu umeamua kupima
mwenyewe sawa.
“Nimeamua hivi ili mtoto aje kuwa na amani ukubwani, maana ujue
atakapokua atakumbana na madai ya mama yake kwenye mitandao, sasa ni
bora aje ajue ufumbuzi ulipatikanaje. Kama baba ni mimi au yule mzee
anayemsema Siwema atajua.”
Mwandishi: “Hivi Nay, ikithibitika mtoto si wako utafanya nini?”
Nay: “Namrudisha kwa mama yake maana mimi nitakuwa baba haramu.”
Nay alisema siku ya kupima damu, alikwenda yeye na mtoto huyo ambapo
walitumia dakika saba kutolewa damu kwa wote wawili. Bado mtoto huyo
anaishi naye nyumbani kwake, Kimara, Dar.
On 19:35 by Unknown in WASANII No comments
HII ni habari ya kutisha! Takriban miaka mitatu imekatika tangu kifo
cha aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Steven Kanumba huku watu wawili
wakifariki dunia kwa nyakati tofauti lakini nyuma ya pazia ya vifo vyao,
mzimu wa Kanumba unatajwa kuhusika kutokana na watu hao kutaka kuishi
mahali pa marehemu huyo.

Miongoni mwa mali hizo ukiachilia mbali, magari, vifaa vya kurekodia filamu, viwanja na filamu zilizokuwa hazijalipwa, mama Kanumba aliimiliki ofisi ya Kanumba iliyokuwa ikijulikana kwa jina la Kanumba The Great Film iliyokuwa Sinza.Hata hivyo, hivi mapema Februari, mwaka huu, mama Kanumba alitoa vitu kwenye ofisi hiyo kwa madai ya kushindwa kulipa pango, hivyo ofisi ikawa wazi.
KILICHOTOKEA SASA
Habari ambazo gazeti hili ilizipata zilidai kwamba, mpangaji mwingine aliikodisha ofisi hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja lakini hivi karibuni mtu huyo amefariki dunia.Msikilize shuhuda: “Kuna jamaa alipanga kwenye ofisi iliyokuwa ya Kanumba mara tu baada ya mama Kanumba kuondoka vitu kwa kushindwa kulipia mkataba mpya.
“Huyo jamaa alikuwa anahusika na masuala ya ujenzi. Jamaa alilipia kodi ya mwaka mmoja, akawalipa watu wamfanyie usafi yeye akaenda ‘saiti’ kwenye mambo yake ya ujenzi. Inadaiwa akiwa kule, kuna ‘kijiko’ kilichokuwa kinachimba kiwanja, bahati mbaya kikarudi nyuma na kumgonga, akaanguka na kufariki dunia.”
JE, NI MZIMU WA KANUMBA?
Kifo cha mtu huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, kinaunganishwa na tukio lilitokea mwaka juzi baada ya kifo cha Kanumba kilichotokea Aprili 7, mwaka 2012.Mara baada ya Kanumba kufariki dunia ghafla, mwanamke mmoja alikwenda kupanga nyumba ile aliyokuwa akiishi marehemu iliyopo Sinza, Dar, naye alifariki dunia ghafla.
MAJIRANI WALIZUNGUMZA
Wakati wa tukio hilo, wanahabari wetu walifika nyumbani kwa mwigizaji huyo ambapo walizungumza na majirani wakaelezea juu ya uwepo wa tukio hilo.Walisema japo hawaamini juu ya imani za masuala ya mzimu wa marehemu lakini kitendo cha mwanamke huyo kufariki dunia muda mfupi baada ya Kanumba kufa kiliwafanya washtuke na kuamini kwamba huenda ni mzimu wa Kanumba ndiyo ulichukua roho ya mpangaji huyo.

Hata hivyo, baadhi ya watu wengine pia walisema yao wakidai kwamba, wanaamini kifo cha mwanamke huyo ni cha kawaida kama ilivyo kwa vifo vingine.“Kama siku za Kanumba zilivyokuwa zimewadia na huyo mpangaji pia siku zake zilikuwa zimefika ndiyo maana amefariki dunia,” alisema mmoja wa majirani.
ALIVYOSEMA MZEE ALIYEKULA CHUMVI NYINGI
Mzee mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Mohamed Sumali (76), mkazi wa Mabibo-Relini, Dar akizungumza na gazeti hili kuhusu mazingira ya vifo hivyo, alisema:“Ipo mizimu ya hivyo. Mtu akifa, wa kwanza kuhamia kwenye nyumba aliyokuwa akiishi marehemu naye anakufa. Lakini si kwamba nyumba ndiyo ina mizimu. Kama hivyo vifo vimetokea kweli basi na mzimu wa Kanumba umeshaondoka.”
MAMA KANUMBA AZUNGUMZA
Baada ya kuzipata habari hizo, mwanahabari wetu alimvutia waya mama Kanumba kutaka kujua kama anajua lolote juu ya marehemu mtoto wake kuacha mzimu ambao unahusishwa na vifo hivyo ambapo alikiri kusikia taarifa za kifo cha jamaa aliyepanga kwenye ofisi za Kanumba lakini akasema hata yeye hajui sababu za kifo chake.
“Hata mimi nimesikia, lakini sielewi chochote kuhusiana na mtu huyo kufariki dunia. Imenishtua kwa kweli maana si unakumbuka hata kule alikopanga (Kanumba) mwanzoni nako aliyepanga ile nyumba naye alifariki? Sijui hata ni kwa nini?” alihoji mama Kanumba kwa sauti iliyoashiria kushangaa sana.
On 19:33 by Unknown in WASANII No comments
Uchuro? Baada ya kutundika mtandaoni kwa mara nyingine picha za
jeneza alilojiandalia litakalotumika siku akiaga dunia, mwanamuziki
Judith Daines Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee au Jide, amelaaniwa vikali
na mashabiki wake kwa kitendo hicho.

Mwaka 2012, Jide alitupia mtandaoni picha za jeneza lake lenye mchanganyiko wa rangi ya zambarau na nyeupe lakini safari hii amebadilisha na kutupia mengine mawili yenye rangi ya krimu na nyeupe.
MANENO KUNTU
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo anatumia jina la jidejaydee, juzi, mwanadada huyo, pamoja na picha hizo mbili, alisindikiza na maneno kuntu kwa chini yaliyosomeka, ‘Nimebadilisha mawazo yangu, sitaki tena lile la zambarau. Moja kati ya hayo hapo juu. Msinimaindi. Kila mtu atakufa. Nilikuwa nafikiria pia iwe kwa waalikwa tu. Sitaki kufunuliwa’.
MASHABIKI WAMLAANI
Risasi Jumamosi liliinyaka ishu hiyo sekunde chache baada ya Jide kuitupia ambapo ndani ya muda mfupi ‘posti’ hiyo ilikuwa na maoni mengi ya kulaani kitendo hicho.
Baadhi ya mashabiki walieleza waziwazi kuchukizwa na jambo hilo alilolifanya staa wao wanayempenda.
SEHEMU YA MAONI
“Kifo kipo kwa kila binadamu lakini hatutakiwi kukifikiria hivyo dada (Jide) unamkosea muumba wako.
“Wewe ni kioo changu, ila kwa hili kwa kweli sijalipenda.
“Jamani dada mbona unatutisha au haupo sawa leo?
“Wewe wajina umefikiria nini lakini?
“Kama umeshaona unakufa sema tujue.

“Dada nini tena mbona unamkufuru Mungu? Hata kama una machungu kiasi gani, huwezi kufanya hivyo kwani ni mipango ya Mungu. Muombe akusamehe.
“Wewe Jide wewe huogopi lakini?
“Najua sote tupo njia hiyo lakini kwa nini leo umeamua kutuandikia hivyo? Naomba mipango ya shetani ishindwe!” ilisomeka sehemu ya maoni hayo iliyoungwa mkono na baadhi ya mashabiki wake waliojawa na simanzi.
MCHUNGAJI AMUUNGA MKONO
Akizungumzia tukio hilo, mchungaji maarufu jijini Dar alisema kuwa, kila mtu anatakiwa kujiandaa kwa kuwa kila nafsi itaonja umauti hivyo ni vema kujiandaa kwa kutenda mema.“Maandalizi yanayopaswa kuwa makubwa ni ya kiroho kwa kuhakikisha unatenda mema ili kupata tiketi ya kwenda peponi na kukwepa adhabu ya Jehanamu,” alisema mchungaji huyo.
On 19:32 by Unknown in WASANII No comments
Msanii wa sinema za Kibongo, Ester Kiama.
Akizungumza hivi karibuni na Global TV Online, Ester ambaye amekuwa akiandamwa kuwa huenda ana uhusiano wa kimapenzi na Dude ambaye ana mkewe, alisema hakuna chochote kinachoendelea kati yao zaidi ya kuwa mtu wake wa karibu na kumsaidia vitu vyake likiwemo suala la kuziba pancha.
“Dude ndiyo kila kitu kwangu, ndiye anayeniendesha, ndiye anayenizibia pancha ikitokea dharura barabarani lakini pia mambo mengi tu yanayohusiana na filamu pamoja na binafsi,” alisema Ester.
Saturday, 21 March 2015
On 03:41 by Unknown in WASANII No comments
Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka.
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka hivi karibu
alijikuta akimwaga machozi baada ya kutembelea shule ya watoto wenye
ulemavu ya Salvition Army, iliyopo Kurasini jijini Dar.
Staa huyo akiwa na timu yake ya Rozzie Magazine, walibeba misaada mbalimbali ikiwemo mchele, mafuta, maharage na sukari ambapo mara baada ya kufika kwenye ukumbi maalum uliotaarishwa kwa ajili ya kuzungumza na watoto hao, alishikwa na moyo wa huruma na kudondosha machozi.
Staa huyo akiwa na timu yake ya Rozzie Magazine, walibeba misaada mbalimbali ikiwemo mchele, mafuta, maharage na sukari ambapo mara baada ya kufika kwenye ukumbi maalum uliotaarishwa kwa ajili ya kuzungumza na watoto hao, alishikwa na moyo wa huruma na kudondosha machozi.
Rose akiwa amebeba bidhaa kwa ajili ya walemavu.
“Kuna kitu nimejifunza hata kama hatuna tunahitaji kuja kuonana na
watoto hawa kuzungumza nao na kuwafariji hivyo hata wasanii wenzangu
wanapaswa kufanya hivi kwani ni muhimu katika maisha yetu,” alisema
Rose.
On 03:40 by Unknown in WASANII No comments
NYOTA wa filamu za Kibongo, Haji Adamu Rajabu ‘Baba
Haji’ amefunguka kuwa, soko la filamu Bongo kwa sasa linashuka siku
hadi siku na sababu kubwa ni wasanii kutopenda kwenda shule
kujiendeleza kielimu na kujua ni jinsi gani filamu inatakiwa
kutengenezwa.

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Baba Haji alisema anakubaliana na
kila mtu anayesema soko limeshuka kwa sababu wasanii wanapenda kukopi,
pia hawapendi kuandika miswada ya filamu na kupendelea kuingiza mambo ya
kizungu, ingawa wengi wanamtaja msanii Steven Kanumba kuwa ameondoka
na soko hilo.
Baba haji anafunguka kama hivi…
Risasi Jumamosi: Vipi, mbona kimya kingi? Soko la filamu limekwenda na Kanumba au unalionaje?
Baba Haji: Tunaweza kusema hivyo, kwa sababu yeye alikuwa anajitoa kwa hali na mali, anatoa pesa zake kwa ajili ya filamu, ni tofauti na wasanii wengine ingawa pia alikuwa akitumia sana ‘media’ kueleza kila anachokifanya.
Risasi Jumamosi: Unadhani ni kwa nini wasanii wengi wanapenda kufanya kazi na Wanaigeria?
Baba Haji: Kwa sababu wao wanalipwa tu ila nchi nyingine wana sheria kali, kufanya kwao filamu ni mpaka uwe na digrii ya sanaa.
Risasi Jumamosi: Wewe umejipanga vipi kwa hilo?
Baba Haji: Mimi nimejipanga vizuri kwa sababu nilikwenda Shule Bagamoyo (Pwani) kwa muda wa miaka mitatu na nilifanikiwa kupata diploma ya sanaa, wakati nakwenda shule nakumbuka Kanumba aliniambia napoteza muda kwani soko ndiyo lilikuwa limechanganya ila namshukuru Mungu hata niliporudi sijapotea sana kwa mashabiki.
Risasi Jumamosi: Una kipimo gani kinachoonesha hujapotea?
Baba Haji: Filamu nilizocheza ni nyingi na juzi nimegundua bado nipo baada ya filamu yangu ya Jamila na Pete ya Ajabu kutoka na kupokelewa na mashabiki vizuri mpaka wamelibadili jina langu kwa sasa wananiita Baba Jamila.
Risasi Jumamosi: Matarajio yako ya baadaye ni yapi?
Baba Haji: Mungu akipenda mwezi wa tisa narudi shule kwa ajili ya kuchukua digrii ya sanaa ambayo nina uhakika itanipeleka mbali zaidi na nimefanikiwa kufungua kampuni yangu inayoitwa Hapa Production ambayo imeandaa filamu yangu ya kwanza ya Mama si Mama itatoka hivi karibuni Mungu akipenda.
Risasi Jumamosi: Unadhani ni kwa nini mnashindwa kupasua anga za kimataifa zaidi ukiacha ishu ya Kanumba kujitolea pesa zake mfukoni?Baba Haji: Nawashauri wasanii wajinoe zaidi kwenye lugha ya kigeni kwani na yenyewe inachangia wao kushindwa kufanya vizuri kwenye soko la kimataifa.
Baba haji anafunguka kama hivi…
Risasi Jumamosi: Vipi, mbona kimya kingi? Soko la filamu limekwenda na Kanumba au unalionaje?
Baba Haji: Tunaweza kusema hivyo, kwa sababu yeye alikuwa anajitoa kwa hali na mali, anatoa pesa zake kwa ajili ya filamu, ni tofauti na wasanii wengine ingawa pia alikuwa akitumia sana ‘media’ kueleza kila anachokifanya.
Risasi Jumamosi: Unadhani ni kwa nini wasanii wengi wanapenda kufanya kazi na Wanaigeria?
Baba Haji: Kwa sababu wao wanalipwa tu ila nchi nyingine wana sheria kali, kufanya kwao filamu ni mpaka uwe na digrii ya sanaa.
Risasi Jumamosi: Wewe umejipanga vipi kwa hilo?
Baba Haji: Mimi nimejipanga vizuri kwa sababu nilikwenda Shule Bagamoyo (Pwani) kwa muda wa miaka mitatu na nilifanikiwa kupata diploma ya sanaa, wakati nakwenda shule nakumbuka Kanumba aliniambia napoteza muda kwani soko ndiyo lilikuwa limechanganya ila namshukuru Mungu hata niliporudi sijapotea sana kwa mashabiki.
Risasi Jumamosi: Una kipimo gani kinachoonesha hujapotea?
Baba Haji: Filamu nilizocheza ni nyingi na juzi nimegundua bado nipo baada ya filamu yangu ya Jamila na Pete ya Ajabu kutoka na kupokelewa na mashabiki vizuri mpaka wamelibadili jina langu kwa sasa wananiita Baba Jamila.
Risasi Jumamosi: Matarajio yako ya baadaye ni yapi?
Baba Haji: Mungu akipenda mwezi wa tisa narudi shule kwa ajili ya kuchukua digrii ya sanaa ambayo nina uhakika itanipeleka mbali zaidi na nimefanikiwa kufungua kampuni yangu inayoitwa Hapa Production ambayo imeandaa filamu yangu ya kwanza ya Mama si Mama itatoka hivi karibuni Mungu akipenda.
Risasi Jumamosi: Unadhani ni kwa nini mnashindwa kupasua anga za kimataifa zaidi ukiacha ishu ya Kanumba kujitolea pesa zake mfukoni?Baba Haji: Nawashauri wasanii wajinoe zaidi kwenye lugha ya kigeni kwani na yenyewe inachangia wao kushindwa kufanya vizuri kwenye soko la kimataifa.
Risasi Jumamosi: Unaweza kunipatia historia yako fupi ya sanaa tangu ulipoanzia mpaka sasa?
Baba Haji: Nilianza kuigiza 1998, nilianzia kundi lililoitwa Mtanzania ambalo lilikuwa chini ya Chama cha Mapinduzi (CCM), mwaka 2000 nikaenda Nyota Academia kundi lililokuwa likiongozwa na mwalimu marehemu George Otieno ‘Tyson’, mkurugenzi akiwa ni Singo Mtambalike ‘Richie’.
Sikuishia hapo, mwaka 2002 tulianzisha Kundi la Kamanda Family nikiwa na Richie Mtambalike ambapo tulicheza michezo mbalimbali kisha tukaamua kuanza kucheza filamu ambapo tulicheza filamu ya Masaa 24 tukaona filamu ndiyo mpango mzima.
Mwaka 2003 nilicheza filamu ya Miss Bongo niliyoshirikiana na Aunt Ezekiel, iliyofuata ilikuwa ni Jeraha ya Ndoa, nilicheza na Monalisa.Mwaka 2004 nilikwenda Bukoba (Kagera) ambapo nilichukuliwa na Abantu Vision kwa ajili ya kufanya sinema iliyohusiana na mambo ya HIV ilivyoingia Tanzania. Filamu hiyo ilifanikiwa kuchukua Tuzo ya Ziff kama Filamu Bora ya mwaka 2005.
Mwaka 2010 nilijiunga na Chuo cha Sanaa Bagamoyo ambapo nilisoma mpaka kumaliza mwaka 2013.
Mwaka 2014 nilifanikiwa kucheza filamu nyingi kama vile Barbara, Kitoga, Don’t Cry, Mary Mary, Charles Mvuvi, Mwandishi wa Habari, Jamila na Pete ya Ajabu na Wa Mwisho Wewe.
Mwaka huu ndiyo wa mavuno kwangu kwani nimejiandaa vema kutoa filamu zangu mwenyewe ambazo zitakuwa na changamoto kubwa kwani nimesoma kwa ajili ya kuja kuvifanyia kazi na kuibadili kabisa tasnia ya filamu.
Baba Haji: Nilianza kuigiza 1998, nilianzia kundi lililoitwa Mtanzania ambalo lilikuwa chini ya Chama cha Mapinduzi (CCM), mwaka 2000 nikaenda Nyota Academia kundi lililokuwa likiongozwa na mwalimu marehemu George Otieno ‘Tyson’, mkurugenzi akiwa ni Singo Mtambalike ‘Richie’.
Sikuishia hapo, mwaka 2002 tulianzisha Kundi la Kamanda Family nikiwa na Richie Mtambalike ambapo tulicheza michezo mbalimbali kisha tukaamua kuanza kucheza filamu ambapo tulicheza filamu ya Masaa 24 tukaona filamu ndiyo mpango mzima.
Mwaka 2003 nilicheza filamu ya Miss Bongo niliyoshirikiana na Aunt Ezekiel, iliyofuata ilikuwa ni Jeraha ya Ndoa, nilicheza na Monalisa.Mwaka 2004 nilikwenda Bukoba (Kagera) ambapo nilichukuliwa na Abantu Vision kwa ajili ya kufanya sinema iliyohusiana na mambo ya HIV ilivyoingia Tanzania. Filamu hiyo ilifanikiwa kuchukua Tuzo ya Ziff kama Filamu Bora ya mwaka 2005.
Mwaka 2010 nilijiunga na Chuo cha Sanaa Bagamoyo ambapo nilisoma mpaka kumaliza mwaka 2013.
Mwaka 2014 nilifanikiwa kucheza filamu nyingi kama vile Barbara, Kitoga, Don’t Cry, Mary Mary, Charles Mvuvi, Mwandishi wa Habari, Jamila na Pete ya Ajabu na Wa Mwisho Wewe.
Mwaka huu ndiyo wa mavuno kwangu kwani nimejiandaa vema kutoa filamu zangu mwenyewe ambazo zitakuwa na changamoto kubwa kwani nimesoma kwa ajili ya kuja kuvifanyia kazi na kuibadili kabisa tasnia ya filamu.
On 03:35 by Unknown in WASANII No comments
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amedaiwa kuwa na
tabia ya kumpiga mizinga (kuomba fedha) mume mtarajiwa wa mwigizaji
Wastara Juma, Mark Edi.

Chanzo makini kilicho karibu na Mark ambaye ni mfanyabiashara mwenye
maduka ya nguo jijini Dar, kimepenyeza habari kuwa, kabla ya kuanzisha
uhusiano na Wastara, Mark alikuwa na uhusiano na Wolper lakini
alimshindwa kutokana na tabia hiyo ya kupiga mizinga.
“Yaani Wolper ni balaa, anampiga sana mizingamizinga jamaa, mara anataka elfu 25, mara 30 yaani ni balaa tupu hadi ikafika steji Mark akaamua kumpiga chini na kutulia na Wastara,” kilisema chanzo hicho.
“Yaani Wolper ni balaa, anampiga sana mizingamizinga jamaa, mara anataka elfu 25, mara 30 yaani ni balaa tupu hadi ikafika steji Mark akaamua kumpiga chini na kutulia na Wastara,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kugaiwa ‘ubuyu’ huo sambamba na ushahidi wa SMS zilizoonesha
Wolper akimuomba Mark fedha, mwanahabari wetu alimtafuta Mark ili
kuweza kujua kama madai hayo yana ukweli ambapo alipopatikana alikiri na
kudai amemchoka mwigizaji huyo.
“Daah! Umezipataje hizo habari? Ni kweli Wolper alikuwa mtu wangu lakini kwa sasa sina habari naye, ni mtu muongomuongo, mizinga kila wakati hadi nikaona bora niachane naye nitulie na Wastara,” alisema Mark ambaye kwa sasa wanapika na kupakua na Wastara.
“Daah! Umezipataje hizo habari? Ni kweli Wolper alikuwa mtu wangu lakini kwa sasa sina habari naye, ni mtu muongomuongo, mizinga kila wakati hadi nikaona bora niachane naye nitulie na Wastara,” alisema Mark ambaye kwa sasa wanapika na kupakua na Wastara.

Jitihada za kumpata Wolper ili aweze kufunguka kwa upande wake
hazikuzaa matunda kwani simu yake iliita bila kupokelewa, jitihada
zinaendelea.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Search
Popular Posts
-
Iko hivi yani, Nimekua siwezi kujizuia hata kwa mwezi tu mmoja bila kutiwa na mwanaume yani mwanaume wangu, ikitokea nimeachana na ...
-
Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujeng...
-
Basi kichwa cha mboo kikiwa juu ya kisimi chake alizidi kuhema kwa nguvu na mi bila huruma niliendelea kumsugua kisimi kwa kichwa cha mb...
-
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zil...
-
Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mt...
-
Wengine wanapenda sana wanawake wenye kina kirefu na wenginewenye kina kifupi. Hata hivyo, machaguo hayo huendana na urefu wa uume wa...
-
Baada ya kukosa kazi katika sehemu za mambo ya massage kutokana umbile kubwa alilonalo hatimaye mwanamama huyu aja na mbinu kabambe ye...
-
No.1. Jennifer Lopez Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na ...