AdSense

Sunday 29 March 2015

On 20:49 by Unknown in    No comments
 
Ni hivi karibuni tu aliachana na mume wake, Nick Cannon baada ya kuishi kwa miaka sita lakini Mariah Carey hajataka kuruhusu matatizo yake binafsi yaathiri muziki wake na ndio maana yupo kwenye ziara barani Asia.

Muimbaji huyo mwenye miaka 44 Jumapili hii alikuwa na show huko Chengdu katika jimbo la Sichuan, China na kuwapa si tu burudani lakini pia kuwaonesha kufuli lake nje nje.

1413199097625_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by
1413199195946_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by

0 comments:

Post a Comment