Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Thursday, 9 April 2015
On 21:38 by Unknown in MICHEZO No comments
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho
Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anaamini kwamba taji la mchezaji bora duniani Ballon d'Or linafaa kuondolewa.
Mourinho anasema kuwa lengo la soka linabadilika kutoka timu za soka hadi kwa wachezaji binafsi.
''Tuanaangazia
mchezo wa mchezaji mmoja, pasi alizotoa na amekimbia kilomita ngapi
uwanjani.Pengine ulikimbia kilomita 11 na mimi nilikimbia kilomita
tisa,lakini kilomita zangu zilikuwa muhimu kushinda zako'',alisema
Mourinho.
Amesema kuwa Chelsea boss Jose Mourinho believes the Ballon d'Or should be scrapped.
Je,
unadhani FIFA inafaa kulifutilia mbali taji la mchezaji bora
duniani.Ingia katika mtandao wetu wa facebook katika bbcswahili uweke
maoni yako.
On 21:34 by Unknown in MICHEZO No comments
Shirikisho la mpira wa miguu duniani
(FIFA) limetoa viwango vipya vya soka duniani huku Tanzania na Rwanda
zikishuka kwa nchi za Afrika ya Mashariki wakati Kenya, Uganda na
Burundi zikipanda viwango.
Kushuka na kupanda kwa viwango
kunatokana na mechi za kirafiki za kimataifa za Fifa zilizofanyika mwezi
Machi , ambazo matokeo yake ni sehemu ya kigezo.
Tanzania, baada
ya kutoka droo ya 1-1 na timu ya Malawi katika moja ya mechi hizo za
kirafiki, imeshuka kutoka nafasi ya 100 mpaka ya 107 huku Rwanda
ikishuka nafasi 10 hadi ya 74 baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Zambia
cha magoli 2-0 mwezi Machi.
Uganda ndio nchi inayoongoza katika
Afrika ya Mashariki ikipanda nafasi mbili juu na kushika nafasi ya 72
baada ya kuwafunga Nigeria 1-0.
Burundi nayo imepanda kutoka nafasi ya 126 mpaka ya 123 mbali ya kutoka droo ya 2-2 na timu ya Mauritius.
Kenya
pia imepanda nafasi moja juu na sasa ipo ya 117 huku ikiwa na rekodi ya
kuifunga Shelisheli 2-0 katika mechi yake ya kirafiki.
Mbali na Afrika ya Mashariki, kiujumla kumekuwa na mabadiliko makubwa katika viwango hivyo vya mwezi April.
Miongoni
mwa nchi zilizopanda ni Belgium ikiwa ya tatu baada ya kupanda juu
nafasi moja kufuatia ushindi wake katika michuano ya Ulaya ya EUFA.
Brazil pia ni miongoni mwa nchi zilizopanda, ikiwa ya ya 5, ikipanda nafasi 1.
Nchi 10 bora katika viwango vya fifa ni
1. Ujerumani
2. Argentina
3. Belgium
4. Colombia
5. Brazil
6. Netherlands
7. Portugal
8. Uruguay
9. Swizerland
10. Uhispania
On 21:33 by Unknown in MICHEZO No comments
Shepolopolo
Ni
kusuka au kunyoa ambapo kitendawili cha timu gani itafuzu kucheza
fainali za michezo ya Afrika kwa upande wa soka la wanawake kati ya
wenyeji Twiga Stars au Shepolopolo ya Zambia kitatenguliwa pale timu
hizo zitakapokwaana katika mechi ya kufuzu Ijumaa jijini Dar es Salaam.
Kuelekea
katika mchezo huo, makocha wa timu zote wametambiana huku kocha
mwenyeji, Rogasian Kaijage wa Twiga Stars akijivunia kuwa uwanja wa
nyumbani ambapo robo tatu ya mashabiki watakuwa upande wake.
Kaijage na nahodha wake Sophia Mwasikili wamewaomba Watanzania kujitokeza kwa wingi uwanjani kuja kuwashangilia.
Kocha
wa Shepolopolo, Albert Kachinga, akiwa nyuma ya magoli 2-4 katika
mchezo wa kwanza uliochezwa mjini Lusaka, amesema amefanyia kazi makosa
yaliyosababishwa kufungwa na wana matumaini ya kushinda.
Zambia pia ina nafasi endapo itaifunga Stars kwa zaidi ya idadi ya magoli yale ya awali waliofungwa nchini mwao.
Mechi
inatarajiwa kuanza majira ya saa 10:30 jioni kwa saa za Afrika
Mashariki, na tiketi za mchezo zitauzwa saa chache kabla ya mechi eneo
la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku viingilio vya mchezo huo
vikiwa ni shilingi za Kitanzania 5000 (wastani wa dola3 za kimarekani)
kwa viti maalumu na shilingi 2000 (dola 1) kwa majukwaa yaliyobakia.
Twiga Stars
Twiga Stars ambayo katika
mchezo wa awali iliibuka na ushindi wa mabao 4-2, inahitaji sare ya aina
yoyote ili kuweza kufuzu kwa fainali za Michezo ya Afrika
zitakazofanyika nchini Congo-Brazzavile mwezi Septemba.
Rais wa
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania (TFF), Jamal Malinzi,
ameitakia kila la kheri timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars)
wakati wa chakula cha mchana kilichoandaliwa kwa ajili ya timu.
On 21:31 by Unknown in MICHEZO No comments
Kocha wa Taifa Stars Mart Nooij
Licha
ya kupangwa katika kundi gumu na timu za Nigeria, Misri na Chad katika
michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 nchini
Gabon, kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mdachi Mart Nooij amesema
timu yake haiziogopi timu hizo.
Ameongeza kuwa badala yake,
zitegemee pia upinzani mkali kutoka kwa Stars ambayo ana amini itakuwa
imejiandaa vema kwa ajili ya mashindano hayo ambapo kushinda, kufungwa
au kupata sare itakuwa ni sehemu ya matokeo.
Michuano ya Cosafa
itakayofanyika nchini Afrika ya Kusini siku chache zijazo itakuwa ni
sehemu ya maandalizi kwa Stars, kwa mujibu wa Nooij, ambaye anasema
Stars itahitajika kutoa ushindani mkubwa.
kikosi cha Taifa stars
Taifa Stars itakuwa na kibarua kigumu katika kugombea nafasi mbili kwa ajili kwenda kucheza fainali.
Stars
imeshuka katika viwango vya FIFA vya mwezi April vilivyotolewa Alhamis
kutoka nafasi ya 100 mpaka nafasi ya 107 na kushuka huko kuna maanisha
Nooij atalazimika kufanya kazi ya ziada kupenya katika tundu la sindano.
Licha
ya kushuka nafasi nne katika viwango vya FIFA, Nigeria, sasa ikiwa
nafasi ya 45 ni miongoni mwa timu ngumu barani Afrika zikiwa na historia
ya kufuzu kucheza kombe la Mataifa ya Afrika na hata la Dunia, sambamba
na Misri, ambayo imepanda nafasi 7 katika viwango hivyo na kuwa nafasi
ya 51.
Katika kundi hilo, Chad ndiyo timu iliyo chini katika viwango hivyo, ikishuka nafasi 3 na kuwa nafasi ya 151
Monday, 6 April 2015
On 05:15 by Unknown in MICHEZO No comments
Novak Djokovic ameendelea kuongeza mataji ya mchezo huo na sasa yamefikia saba.
Hatua hiyo imekuja baada ya jana kunyakua ubingwa michuano ya Miami Open kwa kumbwaga mpinzani wake Andy Murray.
Ubingwa huyo namba moja kwa ubora duniani alimbwaga mpinzani wake kwa seti 7-6 ,7-3, 4-6, 6-0.
Na
baada ya mechi za jana za ligi kuu ya England leo kutakuwa na mchezo
mmoja ambapo Crystal Palace watawakaribisha Manchester City.
Sunday, 5 April 2015
On 19:38 by Unknown in MICHEZO No comments
Shirikisho la soka barani Africa CAF
limethibitisha kuwa Morocco itashiriki katika mechi za kufuzu kwa dimba
la Afrika mwaka 2017.
Siku ya alhamisi mahakama ya kusuluhisha
mizozo ya michezo Cas ilibadilisha marufuku iliowekwa na CAF dhidi ya
Morrocco ya kutoshiriki michuano ya mwaka 2017 na 2019.
Lakini
siku ya ijumaa mkurugenzi wa mawasiliano wa CAF Junior Binyam aliiambia
BBC kwamba kuna mikutano mingi itakayofanywa kabla ya uamuzi kufanywa.
''Tusubiri kitakachofanyika'',alisema.Droo ya mechi za kufuzu inatarajiwa kufanyika tarehe 8 mwezi Aprili.
Siku
ya jumapili,Shirikisho la soka barani CAF lilitanagaza kuwa lilikubali
uamuzi uliofanywa na mahakama hiyo kufuatia mkutano mkuu wa kamati ya
mahakama hiyo huku ikitoa sababu zao katika mtandao.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Search
Popular Posts
-
Iko hivi yani, Nimekua siwezi kujizuia hata kwa mwezi tu mmoja bila kutiwa na mwanaume yani mwanaume wangu, ikitokea nimeachana na ...
-
Basi kichwa cha mboo kikiwa juu ya kisimi chake alizidi kuhema kwa nguvu na mi bila huruma niliendelea kumsugua kisimi kwa kichwa cha mb...
-
Wengine wanapenda sana wanawake wenye kina kirefu na wenginewenye kina kifupi. Hata hivyo, machaguo hayo huendana na urefu wa uume wa...
-
Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mt...
-
Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujeng...
-
Now, children are beginning to do what is not supposed to be done or talked about at their age, but the blame we don't feel should...
-
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zil...
-
Nini Katelelo.....Leo katika pita pita mtaani nimekutana neno linaloitwa KATELELO. Nasikia ni jina la style ya kufanya sex maarufu...
-
No.1. Jennifer Lopez Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na ...


