Thursday 9 April 2015
On 21:30 by Unknown in HABARI No comments
Jaji
mmoja na wakili ni miongoni mwa watu waliouawa baada ya mshukiwa mmoja
kuwafyatulia risasi ndani ya mahakama moja mjini Milan nchini Italia.
Maafisa
wa idara ya mahakama wanasema kuwa mshukiwa aliyefyatua risasi ni mtu
mmoja aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kutangazwa kufilisika.
Mshukiwa huyo aliwapiga risasi
watu wawili ndani ya mahakama kabla ya kumshambulia jaji ambaye
angelisikiliza kesi yake ndani ya ofisi yake.
Mtu wa nne anaaminika kufariki kutokana na mshtuko wa moyo.
Mshukiwa huyo alikamatwa kaskazini mwa Milan akitoroka kwa pikipiki.
Haijulikani
jinsi mshukiwa huyo alivyoweza kuingia ndani ya mahakama hiyo huku
akiwa na bunduki, kwa kuwa wageni wote hupitia vifaa vya kuwakagua ikiwa
wana silaha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Popular Posts
-
Iko hivi yani, Nimekua siwezi kujizuia hata kwa mwezi tu mmoja bila kutiwa na mwanaume yani mwanaume wangu, ikitokea nimeachana na ...
-
Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujeng...
-
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zil...
-
Wengine wanapenda sana wanawake wenye kina kirefu na wenginewenye kina kifupi. Hata hivyo, machaguo hayo huendana na urefu wa uume wa...
-
Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mt...
-
Baada ya kukosa kazi katika sehemu za mambo ya massage kutokana umbile kubwa alilonalo hatimaye mwanamama huyu aja na mbinu kabambe ye...
-
KWENU wauza sura katika video mbalimbali Bongo (video queens), najua mpo wengi lakini pengine labda niwataje wachache ambao mna maj...
0 comments:
Post a Comment