Monday 6 April 2015
On 05:08 by Unknown in HABARI No comments
Ndege za kijeshi za Kenya
zimeshambulia maeneo ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab katika taifa
jirani la Somalia ,msemaji wa jeshi ameiambia BBC.
Ndege hizo
zililenga maeneo mawili ya jimbo la Gedo,linalotumiwa na wapiganaji hao
kuvuka na kuingia Kenya, msemaji huyo ameongeza.
Maeneo hayo mawili hutumiwa na wapiganaji hao kupanga mshambulizi nchini Kenya.
Wanajeshi wa AMISOM walitarajiwa kupeleka wanajeshi wao katika eneo hilo la Gedo lakini hadi sasa hawajafanya hivyo.
Hili
ni shambulio la kwanza la Kenya kwa shambulizi la alshabaab ambalo
lilisababisha mauaji ya watu 148 katika chuo kikuu cha Garissa wiki
iliopita.
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameapa kujibu shambulizi hilo kwa njia mbaya zaidi.
Msemaji
wa jeshi la Kenya David Obonyo ameiambia BBC kwamba Jeshi la Kenya
lilijibu vitisho kwa kutekeleza mashambulizi ya angani siku ya jumapili
usiku katika eneo hilo.
Hakuna maelezo zaidi ya oparesheni hiyo yaliotolewa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Popular Posts
-
Iko hivi yani, Nimekua siwezi kujizuia hata kwa mwezi tu mmoja bila kutiwa na mwanaume yani mwanaume wangu, ikitokea nimeachana na ...
-
Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujeng...
-
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zil...
-
Wengine wanapenda sana wanawake wenye kina kirefu na wenginewenye kina kifupi. Hata hivyo, machaguo hayo huendana na urefu wa uume wa...
-
Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mt...
-
Baada ya kukosa kazi katika sehemu za mambo ya massage kutokana umbile kubwa alilonalo hatimaye mwanamama huyu aja na mbinu kabambe ye...
-
KWENU wauza sura katika video mbalimbali Bongo (video queens), najua mpo wengi lakini pengine labda niwataje wachache ambao mna maj...
0 comments:
Post a Comment