Thursday, 9 April 2015
On 21:26 by Unknown in SIASA No comments
Rais Hassa Rouhani wa Iran
Rais
wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi
ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.
Iran
pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa
wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.
Balozi
wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya
mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.
Nchini
Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya
mashambulio zaidi ya anga dhidi ya wapiganaji wa Houthi katika maeneo
ya Kaskazini, Kusini na kati kati mwa Yemen.
Wapiganaji hao wa
Houthi ambao wanapinga utawala wa rais Abd Rabbu Mansour Hadi,
wamechukua uthibiti wa maeneo kadhaa nchini humo katika miezi ya hivi
karibuni.
Akiongea mjini Tehran, rais Rouhani alitaja mashambulio hayo kama makosa makubwa.
Awali waziri wa mambo ya nje wa Marekani John kerry alionya Iran dhidi ya kuwaunga mkono wapiganaji hao wa Houthi.
Kerry aliyasema hayo baada ya Iran kutuma manuwari mbili za kijeshi katika eneo la Guba la Aden.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Popular Posts
-
Iko hivi yani, Nimekua siwezi kujizuia hata kwa mwezi tu mmoja bila kutiwa na mwanaume yani mwanaume wangu, ikitokea nimeachana na ...
-
Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujeng...
-
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zil...
-
Basi kichwa cha mboo kikiwa juu ya kisimi chake alizidi kuhema kwa nguvu na mi bila huruma niliendelea kumsugua kisimi kwa kichwa cha mb...
-
Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mt...
-
Wengine wanapenda sana wanawake wenye kina kirefu na wenginewenye kina kifupi. Hata hivyo, machaguo hayo huendana na urefu wa uume wa...
-
Baada ya kukosa kazi katika sehemu za mambo ya massage kutokana umbile kubwa alilonalo hatimaye mwanamama huyu aja na mbinu kabambe ye...
-
No.1. Jennifer Lopez Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na ...
0 comments:
Post a Comment