AdSense

Wednesday 1 April 2015

On 10:24 by Unknown in    No comments
 
 
Wataalam wamefanya uchunguzi na kuamua kuwa mwanamke akiwa na matako makubwa, hips kubwa, mafuta kwenye eneo la hips basi atakuwa msahaulifu, punguani, akifika miaka 65! Lakini ukiwa na Tumbo kubwa mambo safi.

Jamani, ni kweli lakini? Sijui wamefanya uchunguzi na wanawake wa rangi gani. Sidhani kama wamechunguza wanawake wanaokaa Afrika. Maana unakuta wanawake wenye umri mkubwa bado 'Sharp'!

0 comments:

Post a Comment