AdSense

Saturday 21 March 2015

On 05:47 by Unknown in    No comments
 
KWENU wauza sura katika video mbalimbali Bongo (video queens), najua mpo wengi lakini pengine labda niwataje wachache ambao mna majina makubwa; Agness Gerald ‘Masogange’, Rehema Fabian, Husna Maulid na Lulu ambaye umeonekana juzikati katika video ya msanii wa Bongo Fleva, Y-Tone, Shitobe. Bila shaka mko poa na mnaendelea na maisha yenu ya kila siku. Mkitaka kujua hali yangu, mimi niko poa, naendelea na maisha yangu na kazi zangu kama kawaida kusahihisha wale ambao hawaendi kwenye mstari kama nyinyi. Suala la nyinyi kurekodiwa picha za utupu limekuwa kama desturi. Mnarekodiwa video za utupu au  kupiga picha za utupu kisha kuzisambaza(kusambazwa)

0 comments:

Post a Comment