Sunday, 5 April 2015
On 19:38 by Unknown in MICHEZO No comments
Shirikisho la soka barani Africa CAF
limethibitisha kuwa Morocco itashiriki katika mechi za kufuzu kwa dimba
la Afrika mwaka 2017.
Siku ya alhamisi mahakama ya kusuluhisha
mizozo ya michezo Cas ilibadilisha marufuku iliowekwa na CAF dhidi ya
Morrocco ya kutoshiriki michuano ya mwaka 2017 na 2019.
Lakini
siku ya ijumaa mkurugenzi wa mawasiliano wa CAF Junior Binyam aliiambia
BBC kwamba kuna mikutano mingi itakayofanywa kabla ya uamuzi kufanywa.
''Tusubiri kitakachofanyika'',alisema.Droo ya mechi za kufuzu inatarajiwa kufanyika tarehe 8 mwezi Aprili.
Siku
ya jumapili,Shirikisho la soka barani CAF lilitanagaza kuwa lilikubali
uamuzi uliofanywa na mahakama hiyo kufuatia mkutano mkuu wa kamati ya
mahakama hiyo huku ikitoa sababu zao katika mtandao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Popular Posts
-
Iko hivi yani, Nimekua siwezi kujizuia hata kwa mwezi tu mmoja bila kutiwa na mwanaume yani mwanaume wangu, ikitokea nimeachana na ...
-
Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujeng...
-
Basi kichwa cha mboo kikiwa juu ya kisimi chake alizidi kuhema kwa nguvu na mi bila huruma niliendelea kumsugua kisimi kwa kichwa cha mb...
-
Mke wangu siku hizi mapenzi sijui niseme yameongezeka au sijui niseme ana nikomoa nasema hivi kwa sababu ndani ya wiki kama mbili zil...
-
Wakati wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, dada mmoja ambaye ni mke wa mt...
-
Wengine wanapenda sana wanawake wenye kina kirefu na wenginewenye kina kifupi. Hata hivyo, machaguo hayo huendana na urefu wa uume wa...
-
No.1. Jennifer Lopez Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na ...
-
Now, children are beginning to do what is not supposed to be done or talked about at their age, but the blame we don't feel should...
0 comments:
Post a Comment