Sunday, 22 March 2015
On 09:37 by Unknown in MAPENZI No comments

Kwa Mujibu wa utafiti uliofanyika hivi karibu katika chuo kikuuu cha
London imefahamika kwamba wanawake wengi wenye makalio makubwa yani wale
wenye shape na muonekano wa kuvutia hawajui mapenzi kabisa,
wanasaikolojia wameongezea kuwa wanawake hao hujigamba na maumbile yao
hata kufikia kujiamini kupita kiasi hata kutoonyesha utundu wapo
wanapokuwa mahabani, wengi wao wamejikuta wakiachika mara kwa mara
hatakutotulia na mpenzi mmoja kwani mtu anavutiwa tu anapomuona ila
baada tu ya kipindi fulani hukinahiwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment